John Maynard Keynes

John Maynard Keynes (* 5 Juni 1883 - † 21 Aprili 1946) alikuwa mtaalamu wa hisabati na uchumi kutoka nchini Uingereza.

John Maynard Keynes
John Maynard Keynes

Yeye ni maarufu kwa mafundisho yake juu ya uchumi yaliyo na athira kubwa katika siasa ya kiuchumi katika nchi nyingi.

Katika nadharia yake aliandika ya kwamba uchumi wa soko huria peke yake hauelekei kumpa kila mtu kazi. Hapa alisema ya kwamba ni wajibu wa serikali kuingilia kati na kusukuma uchumi kwa kuingiza pesa katika mzunguko wa kiuchumi.

Tags:

1883194621 Aprili5 JuniHisabatiUchumiUingereza

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

WamasaiMalariaKichochoBomu la nyukliaInsha za hojaUenezi wa KiswahiliJipuKaswendeKitenzi kikuu kisaidiziDiamond PlatnumzUlayaTabianchiIdi AminMatumizi ya lugha ya KiswahiliWaheheUmoja wa AfrikaMishipa ya damuWaluguruBiashara ya masafa marefu ya Afrika MasharikiReal MadridMafua ya kawaidaMuungano wa Madola ya AfrikaMmomonyokoShengTreniWilaya ya IlalaUwanja wa Taifa (Tanzania)Afrika Mashariki 1800-1845MajiOrodha ya miji ya TanzaniaLimauMapinduzi ya ZanzibarHistoria ya KanisaNdege (mnyama)MziziViwakilishi vya urejeshiKamusi Hai ya Kiswahili MtandaoniTarakilishiMbooJogooZuliaUzalendoTungoHekaya za AbunuwasiKito (madini)NgonjeraUkwapi na utaoMkoa wa ManyaraKiambishiTamathali za semiDubai (mji)Mnara wa BabeliUgonjwa wa uti wa mgongoSamakiTarafaWikipedia ya KiswahiliP. FunkUbunifuHistoria ya IranUfinyanziUislamuMtakatifu MarkoMahakama ya TanzaniaMamba (mnyama)KidoleAnwaniNadhariaMsitu wa AmazonTashihisiAlama ya barabaraniDagaaMjombaMafurikoJux🡆 More