London: Mji mkuu wa Uingereza na wa Ufalme wa Muungano

London ni mji mkuu wa Uingereza na mji mkubwa wa nchi hii wenye wakazi milioni 7.5.

Kwenye rundiko la mji idadi ya watu ni karibu milioni 14.

London: Mji mkuu wa Uingereza na wa Ufalme wa Muungano
Sehemu ya Jimbo wa London


London
London is located in Uingereza
London
London

Mahali pa mji wa London katika Uingereza

Majiranukta: 51°30′28″N 00°07′41″W / 51.50778°N 0.12806°W / 51.50778; -0.12806
Nchi Ufalme wa Muungano
Idadi ya wakazi (2007)
 - Wakazi kwa ujumla 7,556,900
Tovuti:  http://www.london.gov.uk/

London ni mahali muhimu kwa biashara na benki kimataifa. Jiji la London ndilo linalopokea watalii wengi zaidi ulimwenguni. Uwanja wa ndege wa Heathrow unapokea wasafiri wengi zaidi kushinda mahali popote duniani.

London ina watu wa kutoka tamaduni mbalimbali, dini tofautitofauti, na zaidi ya lugha 300 huzungumzwa jijini London.

Mji umepambwa na majengo mazuri kama makumbusho, makanisa na majumba yanayovuta watalii wengi kila mwaka.

Marejeo

Viungo vya nje

London: Mji mkuu wa Uingereza na wa Ufalme wa Muungano  Makala hii kuhusu maeneo ya Uingereza bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu London kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

IdadiMilioniMji mkuuUingereza (nchi)

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

TreniVita Kuu ya Pili ya DuniaAngolaMmeaOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaJokofuTenziUturukiSteve MweusiSamia Suluhu HassanManchester CityShomari KapombeKoloniKiini cha atomuMichezo ya watotoMkoa wa IringaUzalendoJumuiya ya MadolaKata za Mkoa wa Dar es SalaamShahawaBata MzingaMashariki ya KatiUpinde wa mvuaWayahudiFasihiMauaji ya kimbari ya RwandaWabondeiViwakilishi vya urejeshiNomino za jumlaMaudhuiTupac ShakurDhahabuSkeliUhakiki wa fasihi simuliziKitabu cha Yoshua bin SiraNafsiDawatiSitiariNdovuJoyce Lazaro NdalichakoMbuniJamhuri ya Kidemokrasia ya KongoHarusiHadhiraHistoria ya Kanisa KatolikiKamusi elezoAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaJogooUtumwaFananiUkristo nchi kwa nchiNikki wa PiliBiasharaIdhaa ya Kiswahili ya Radio TehranMobutu Sese SekoUtamaduniJinaDar es SalaamAgano JipyaMahakama ya TanzaniaHaki za binadamuMkoa wa Unguja Mjini MagharibiHoma ya iniWizara za Serikali ya TanzaniaVitenzi vishiriki vipungufuHektariAsiliMtawaKumaHuduma za Maktaba TanzaniaTanganyikaUhakikiWazaramoMkoa wa Katavi🡆 More