Chad

Chad, kirasmi Jamhuri ya Chad (pia: Chadi), ni nchi huru iliyoko Afrika ya Kati.

Imepakana na Libya, Sudan, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Kamerun, Nigeria na Niger.

Jamhuri ya Chad
جمهورية تشاد (Kiarabu)
République du Tchad (Kifaransa)
Bendera ya Chad
Bendera
Nembo ya Chad
Nembo
Kaulimbiu ya taifa:
Unité, Travail, Progrès (Kifaransa)
الاتحاد، العمل، التقدم (Kiarabu)
"Umoja, Kazi, Maendeleo"
Wimbo wa taifa:
La Tchadienne (Kifaransa)
نشيد تشاد الوطني (Kiarabu)
"Wimbo wa Chad"
Mahali pa Chad
Mahali pa Chad
Ramani ya Chad
Ramani ya Chad
Mji mkuu
na mkubwa nchini
N'Djamena
12°06′ N 16°02′ E
Lugha rasmiKiarabu
Kifaransa
Makabila (asilimia)26.6 Wasara
12.9 Waarabu
8.5 Wakanembu
7.2 Wamasalit
6.9 Watebu
4.8 Wamasana
3.7 Wabidiyo
3.7 Wabilala
3.0 Wamaba
2.6 Wadaju
2.5 Wamundang
2.4 Wagabri
2.4 Wazaghawa
2.1 Wafulani
2.0 Watupuri
1.6 Watama
1.4 Wakaro
1.3 Wabagirmi
1.0 Wamasmaje
2.6 Wachad wengine
0.7 Wageni
Dini (asilimia)55.1 Waislamu
41.1 Wakristo
2.4 Wakanamungu
1.3 dini asilia
0.1 wengine
SerikaliJamhuri yenye
baraza la majeshi
 • Rais wa muda
 • Makamu wa Rais
 • Waziri Mkuu
Mahamat Déby
Djimadoum Tiraina
Succès Masra
Eneo
 • Eneo la jumlakm2 1 284 000
 • Maji (asilimia)1.9
Idadi ya watu
 • Kadirio la 202318 523 165
Pato la taifaKadirio la 2023
 • JumlaOngezeko USD bilioni 12.596
 • Kwa kila mtuOngezeko USD 702
Pato halisi la taifaKadirio la 2023
 • JumlaOngezeko USD bilioni 32.375
 • Kwa kila mtuOngezeko USD 1 806
Maendeleo (2022)Ongezeko 0.394 - duni

Mji mkuu ni Ndjamena.

Jiografia

Sehemu kubwa ya eneo lake ni jangwa na nchi yabisi. Kusini kuna kanda lenye hali ya hewa ya kitropiki, lakini ardhi yenye rutuba inayofaa kwa kilimo ni asilimia 3 tu za eneo lake lote .

Kaskazini kuna milima ya Tibesti.

Katikati liko beseni la ziwa Chad lililokuwa kati ya maziwa makubwa kabisa duniani lakini limepungua sana, hasa mwishoni mwa karne ya 20.

Historia

Katika milenia ya 7 KK kulikuwa na watu wengi sana katika beseni hiyo.

Katika historia kabla ya ukoloni watu wa kaskazini waliwafanyia vita watu wa kusini na kuteka wafungwa kama watumwa. Hivyo hadi leo uhusiano kati ya kusini na kaskazini ya nchi ni mgumu.

Tangu mwaka 2003 petroli imekuwa inaongoza kati ya bidhaa zinazopelekwa nje ya nchi badala ya pamba.

Tangu mwaka huo Mgogoro wa Darfur nchini Sudan umevuka mpaka na kuvuruga Chad pia. Ikiwa kati ya nchi zinazoongoza duniani kwa ufukara na ufisadi, ilipata shida kupokea wakimbizi kwa mamia elfu.

Ingawa kulikuwa na vyama vingi vya siasa na mapigano ya kisiasa pamoja na majaribio ya mapinduzi, mamlaka ilibaki imara mikononi mwa Rais Déby na chama chake, Patriotic Salvation Movement, hadi alipouawa mwaka 2021.

Watu

Chad 
Msichana wa mkoa wa Ouaddaï.

Wakazi walikuwa 15,500,000 mwaka 2018.

Jinsi ilivyo katika nchi mbalimbali za kanda la Sahel kuna aina mbili za wakazi ndani yake:

Kwa jumla leo kuna makabila zaidi ya 200 nchini, ambayo hutimia lugha na lahaja zaidi ya 100 (angalia orodha ya lugha hizo). Asili yao ni Afrika Mashariki, Afrika ya Kati, Afrika Magharibi na Afrika Kaskazini vilevile.

Lugha rasmi ni Kiarabu na Kifaransa.

Tazama pia

Marejeo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Chad 
WikiMedia Commons
Wiki Commons ina media kuhusu:
    Vya serikali
    Vingine


Nchi za Afrika Chad 
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Eswatini | Ethiopia | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesotho | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya Afrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Hispania: Kanari · Ceuta · Melilla | Italia: Pantelleria · Pelagie | Ufaransa: Mayotte · Réunion | Uingereza: · St. Helena · Diego Garcia | Ureno: Madeira
Chad  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Chad kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

Chad JiografiaChad HistoriaChad WatuChad Tazama piaChad MarejeoChad Marejeo mengineChad Viungo vya njeChadAfrika ya KatiJamhuri ya Afrika ya KatiKamerunLibyaNchi huruNigerNigeriaSudan

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Ligi Kuu Uingereza (EPL)KipindupinduJokate MwegeloMizimuInsha za hojaUbuntuAslay Isihaka NassoroMethaliOrodha ya shule nchini TanzaniaWanyama wa nyumbaniVivumishi vya pekeeBendera ya ZanzibarRamaniMakabila ya IsraeliMgawanyo wa AfrikaMeno ya plastikiKombe la Mataifa ya AfrikaUjerumaniMashariki ya KatiKishazi tegemeziNyotaBibliaKanuni ya Imani ya Nisea-KonstantinopoliBahari ya HindiChristina ShushoMoses KulolaNdoaWamasaiTamathali za semiErling Braut HålandShahawaSarufiOrodha ya Marais wa UgandaYouTubeMkoa wa RuvumaDawatiAzimio la Kimataifa juu ya Haki za BinadamuKiwakilishi nafsiBabeliMaji kujaa na kupwaMwanga wa JuaNuktambiliAfrika ya Mashariki ya KijerumaniMisimu (lugha)Ukristo nchi kwa nchiSikukuuBenjamin MkapaStadi za lughaVitenzi vishiriki vipungufuVidonda vya tumboVielezi vya mahaliUmoja wa UlayaHuduma za Maktaba TanzaniaBakari Nondo MwamnyetoWairaqwVivumishiHistoria ya TanzaniaKomaKorea KusiniMkoa wa IringaHadhiraMeridianiJérémy DokuVivumishi vya -a unganifuMoyoAina za manenoAzimio la ArushaKilimanjaro (volkeno)Kima (mnyama)Nabii IsayaOrodha ya viongoziLughaKongoshoUandishi wa inshaBarack ObamaNusuirabuMagonjwa ya macho🡆 More