Lamborghini

Lamborghini ni gari lenye bei kubwa sana, na lina thamani ya Dola 200,000, ambayo ni sawa na shilingi za Kitanzania 449,060,000.

Gari hili pia linasifika kuwa ni gari lenye spidi kubwa, kwani gari hili linasafiri kwa kilometa 350 kwa saa, na linashika nafasi ya 10 kwa magari yenye spidi kubwa sana duniani.

Lamborghini
Lamborghini likiwa barabarani.

Automobili Lamborghini ni kiwanda cha Italia ambacho ni mtengenezaji wa magari ya fahari, magari ya michezo na SUVs kinachopatikana Sant'Agata Bolognese, Italia.

Kampuni hiyo inamilikiwa na kundi la Volkswagen kupitia hisa za magari ya Audi.

Kampuni hiyo imekadiriwa itakuwa na hasara ya kila mwaka ya $ 450 milioni ifikapo 2030.

Tags:

BeiDolar ya MarekaniDuniaGariKilometaSaaShilingi ya TanzaniaSpidiThamani

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Usawa (hisabati)MsamiatiYesuBendera ya TanzaniaKumaAlfabetiOrodha ya milima ya AfrikaMmeaMaktabaMalariaMafurikoMichezo ya watotoNg'ombePalestinaUharibifu wa mazingiraOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaChelseaMandhariKiwakilishi nafsiNyimbo za jadiKaswendeWachaggaWhatsAppMishipa ya damuKodi (ushuru)HurafaRamaniKitomeoMaishaTambaziKaziVitenzi vishiriki vipungufuKoffi OlomideWaluguruHifadhi ya mazingiraTungo kiraiUbunifuKaaMkutano wa Berlin wa 1885LughaVasco da GamaWimboUkabailaZama za ChumaMgawanyo wa AfrikaKiongoziAnwaniWema SepetuTungo kishaziIdara ya Usalama wa Taifa (Tanzania)MatamshiTanganyika (ziwa)Mbeya (mji)JokofuAdhuhuriRihannaViunganishiKiboko (mnyama)NdoaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaKarneDagaaUchumiMkoa wa Dar es SalaamKupatwa kwa JuaNomino za dhahaniaMtakatifu PauloMichezoBaraza la Wawakilishi wa ZanzibarKitenzi kikuu kisaidiziNomino za pekeeVihisishiLigi ya Mabingwa UlayaChristina ShushoViwakilishi vya pekeeOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo🡆 More