Simu Za Mikononi

Simu ya mkononi (lakabu simu ya kiganjani, simu bila waya, simumnara, simu-selula, rununu, rukono) ni simu ndogo inayobebeka.

Simu Za Mikononi
Siemens AX72.
Simu Za Mikononi
Ndani ya simu za mkononi

Simu ya mkononi inaweza kutumika kwa mawasiliano ya mbali bila waya. Inafanya kazi kwa kuwasiliana na kituo cha mawasiliano kwa njia ya mnara (vilevile huita "mnarani") ambayo inaunganisha na mtandao mkuu wa simu. Ikiwa inatembea, kama simu inakuwa mbali sana na mnara iliyoungana nao awali, ule mnara unatuma ujumbe kwa mnara mwingine wa karibu kupokea mawasiliano. Utaratibu huu unasaidia simu isikatike, hivyo basi mawasiliano yanaendelea kwa kuunganishwa huko. Kupasiana huko kwa minara (lugha ya kitaalamu "hand-off"), kunatokea kiasi kwamba hata mtumiaji hawezi kujua kitu kama hicho kimetokea.

Teknolojia hii wakati ilipoanza ilikuwa ghali mno. Lakini kadiri inavyozidi kujulikana kutumika, ndivyo inavyozidi kuwa na gharama za chini, kiasi kwamba siku hizi karibu kila mtu anaweza kumudu gharama za matumizi ya simu ya mkononi.

Muundo mpya wa simu za mkononi unaitwa "SimuJanja" au "simu mtelezo". Muundo huu umekuwa maarufu ndani ya muda mfupi. Sehemu kubwa ya simu zilizotengenezwa kuanzia mwaka wa 2010 ni "simujanja". Zinaweza kutumika kama kompyuta na vilevile kupiga simu.

Marejeo

Viungo vya nje

Simu Za Mikononi 
Wiki Commons ina media kuhusu:

Tags:

Simu

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

KisaweMtiSarufiMaambukizi nyemeleziEthiopiaMkoa wa MtwaraOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaKonsonantiMapinduzi ya ZanzibarTanganyikaSamia Suluhu HassanNathariLuka ModricMuhammadSteven KanumbaHistoria ya KanisaOrodha ya Marais wa MarekaniUhakiki wa fasihi simuliziEdward SokoineMobutu Sese SekoUmoja wa MataifaAfrika ya MasharikiFalsafaAbedi Amani KarumeWanyamboDivai17 ApriliPepopundaUrusiKitomeoMaji kujaa na kupwaFonetikiAbrahamuUtawala wa Kijiji - TanzaniaMaudhuiBiashara ya masafa marefu ya Afrika MasharikiMwenge wa UhuruMashineKonokonoKadi za mialikoZuchuUkabailaMazingiraLigi ya Mabingwa AfrikaNomino za kawaidaWaheheUpendoUmoja wa UlayaVita ya Maji MajiFani (fasihi)SimbaVieleziPonografiaRejistaMachweoKidole cha kati cha kandoMavaziKinembe (anatomia)Daudi (Biblia)Orodha ya matajiri wakubwa WaafrikaMilaHadithi za Mtume MuhammadKipindupinduYerusalemuMandhariNabii EliyaUwanja wa Taifa (Tanzania)MagimbiUtumbo mwembambaMbuga za Taifa la TanzaniaMimba kuharibikaViwakilishi vya kumilikiMungu ibariki AfrikaMsamiati🡆 More