Lugha Za Kinilo-Sahara

Lugha za Kinilo-Sahara ni familia ya lugha za barani Afrika ambayo ni kati ya zile muhimu zaidi duniani.

Hata hivyo, si wataalamu wote wanakubali familia hiyo.

Lugha Za Kinilo-Sahara
Uenezi wa lugha za Kinilo-Sahara (rangi ya njano).

Katika familia hiyo kuna lugha takriban 200 zenye jumla ya wasemaji milioni 50-60 katika nchi 17, zikiwemo Algeria, Libya, Misri, Chad, Mali, Niger, Benin, Sudan, Sudan Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Afrika Mashariki, k.m. Kijaluo na Kimaasai.

Lugha Za Kinilo-Sahara Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lugha za Kinilo-Sahara kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

AfrikaBaraDunianiFamiliaLughaWataalamu

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

UhakikiDiplomasiaAgano JipyaVidonda vya tumboStephane Aziz KiUkooSaidi Salim BakhresaNomino za pekeeNguruwe-kayaKidoleLigi ya Mabingwa AfrikaRadiBiashara ya masafa marefu ya Afrika MasharikiPapa (samaki)Kamusi ya Kiswahili sanifuNgw'anamalundiVita vya KageraMillard AyoTanganyika African National UnionMwanamkeUlaya23 ApriliAmri KumiMbeya (mji)Historia ya Kanisa KatolikiMtandao pepe binafsiSeliUnyevuangaHekaya za AbunuwasiJinaKizunguzunguAkili ya binadamuNomino za dhahaniaKifupiIsraelKamusiMkanda wa jeshiIdi AminGeorge WashingtonNgono zembeJiniFutiMichael JacksonWabena (Tanzania)Orodha ya visiwa vya TanzaniaOrodha ya Marais wa TanzaniaRoho MtakatifuMuundoNambaOrodha ya milima ya TanzaniaMjombaMatumizi ya LughaAfyaDolar ya MarekaniUandishi wa barua ya simuZabibuAlama ya uakifishajiNdimuAzimio la ArushaHoma ya mafuaAngahewaMaana ya maishaBendera ya KenyaUkabailaMtiMazungumzoMlo kamiliJohn MagufuliNyegeWikipediaToharaUbongo🡆 More