Jiolojia (kutoka Kigiriki γῆ ge „ardhi“ na λόγος logos, somo, mafundisho“ = geologia - kwa matamshi ya Kiingereza jiolojia) ni fani ya sayansi inayochunguza maumbile ya dunia na tabia zake za kifizikia na kikemia.
Inachungulia pia historia ya dunia na nguvu zinazoendelea kubadilisha maumbile ya dunia.
Neno "geologia" liliwahi kutumiwa mara ya kwanza mnamo 1778 na Mfaransa Jean-André Deluc (1727–1817).
Jiolojia inatazama mawe na ardhi ikitafuta maelezo kwa umbo na tabia zake kuligana na kanuni za kisayansi.
Kuna masomo madogo ndani ya jiolojia kama vile:
Jiolojia inachunguza hasa miamba na kutofautisha aina tatu kufuatana na misingi yake:
Asili ya ardhi ni miamba iliyovunjikavunjika na kuchanganyika na mabaki ya mimea na wanyama waliooza.
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Jiolojia, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.