Agosti: Mwezi wa nane katika mwaka

Mwezi wa Agosti ni mwezi wa nane katika Kalenda ya Gregori.

Jul - Agosti - Sep
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30 31
Kalenda ya Gregori

Jina lake limetokana na jina la Kaisari Augustus wa Warumi. Kwa asili, mwezi huo wa Agosti ulikuwa mwezi wa sita katika kalenda ya Warumi, na jina lake lilikuwa Sextilis kulingana na neno la Kilatini sextus, maana yake ni "wa sita". Mwaka wa 153 KK, mwanzo wa mwaka ulitanguliza miezi miwili kutoka Machi kwenda Januari, na maana ya jina Sextilis ilipotea.

Agosti ina siku 31, na katika mwaka mrefu (wenye siku 366), inaanza na siku ya juma sawa na mwezi wa Februari.

Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:

Tags:

153 KKAugustusJanuariKKKaisariKalenda ya GregoriKilatiniMachiWarumi

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

LafudhiClatous ChamaNamba za simu TanzaniaNgeliWenguTashbihaUmoja wa AfrikaIsimuReptiliaMaudhui katika kazi ya kifasihiWayahudiUvimbe wa koromeo usababishwao na streptokokiSimba S.C.Wema SepetuHadhiraKupatwa kwa MweziAzimio la Kimataifa juu ya Haki za BinadamuDhanaDesturiMbuFonimuHeshimaInsha za hojaMizimuBongo FlavaKiswahiliKiambishi awaliMimba za utotoniLuhaga Joelson MpinaMauaji ya kimbari ya RwandaFasihi andishiWapogoloMaskiniMuda sanifu wa duniaNominoTanganyika African National UnionDhima ya fasihi katika maishaGazetiVivumishi vya -a unganifuSoga (hadithi)Zana za kilimoWikipedia ya KiswahiliKaswendeDolar ya MarekaniSteve MweusiInjili ya MathayoMwalimuBenjamin MkapaFalme za KiarabuDar es SalaamTenziVita vya KageraMofimuOrodha ya Marais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoKiwakilishi nafsiMichezo ya watotoMmomonyokoMkoa wa RukwaPijini na krioliOrodha ya maziwa ya TanzaniaKamusi Hai ya Kiswahili MtandaoniMwanzo (Biblia)PunyetoLughaZama za MaweHistoria ya Kanisa KatolikiMkoa wa Dar es SalaamAgostino wa HippoUkanda wa GazaWasukumaPaka (maana)Vidonge vya majiraMwanga wa JuaVielezi vya namnaHaki🡆 More