Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Msalaba wa Yesu ni msalaba ule ambao Yesu Kristo alisulubiwa juu yake hadi kifo chake kilichotokea huko Yerusalemu kwa amri ya Ponsyo Pilato siku ya Ijumaa... |
kwamba msalaba wake haukuwa aibu, bali hasa utukufu. Hadithi zilizoenea sana zinadai mwaka 326 msalaba halisi wa Yesu uligunduliwa na mtakatifu Helena wa Konstantinopoli... |
kama ukumbusho wa kifodini cha mwanzilishi wake, Yesu Kristo, aliyekufa kwa njia ya usulubisho. Msalaba ulikwishatumiwa na Wakristo wa kale sana. Mwanzoni... |
kuhusu Yesu katika maandiko ya waandishi wa Roma, Wagiriki na Wayahudi. Habari hizo zinaangaliwa sana kwa sababu zimetungwa na watu wasiomwamini Yesu kidini... |
nyingi za Ulaya. Kufuatana na mapokeo ya mahali mwamba wa Golgota uliposimama msalaba wa Yesu na kaburi alikozikwa vyote vilikuwa karibu sana hivyo mahali... |
Mwanakondoo wa Mungu ni neno la Injili ya Yohane (1:29, 36) lililotamkwa na Yohane Mbatizaji kumhusu Yesu Kristo ili kumtambulisha kama kafara itakayotolewa... |
wa Yesu unamaanisha maisha ya Yesu tangu azaliwe hadi alipokuwa na umri wa miaka 12, kwa sababu Wayahudi walihesabu miaka 13 kuwa mwanzo wa wajibu wa... |
Ubatizo wa Bwana ni sikukuu ya liturujia inayoadhimisha fumbo la Yesu kubatizwa na Yohane Mbatizaji katika mto Yordani kabla hajaanza utume wake mwenyewe... |
Ukoo wa Yesu unapatikana katika vitabu viwili vya Agano Jipya: Injili ya Mathayo ambayo inaorodhesha vizazi kuanzia Abrahamu hadi kwa Yosefu (mume wa Maria)... |
Teresa wa Mtoto Yesu na wa Uso Mtakatifu, O.C.D. (Alençon, Ufaransa, 2 Januari 1873 - Lisieux, Ufaransa, 30 Septemba 1897) ni jina la kitawa la Thérèse... |
Ufufuko wa Yesu ndio tukio kuu lililotangazwa daima na Kanisa lake lote kuhusu mwanzilishi wake, Yesu Kristo, kuanzia ushuhuda wa Mitume wa Yesu na maandiko... |
alieneza kwa bidii heshima kwa msalaba wa Yesu na kushiriki mitaguso mbalimbali. Alisifiwa mara kadhaa na mwandamizi wake, Gregori wa Tours, kwa upendo aliokuwanao... |
Ndugu wa Yesu ni watu wa Israeli wa karne ya 1 wanaotajwa na Agano Jipya, mara nyingi kama wapinzani wa Yesu. Hata hivyo baadaye baadhi yao walishika nafasi... |
Ukristo ulivyosogea mbali na Uyahudi uliopinga uchoraji wa Mungu na viumbe vyake kwa jumla. Kwanza Yesu hakuchorwa, ila aliwakilishwa na ishara mbalimbali... |
wa Aleksandria. Pia alihimiza kaisari Konstantino Mkuu na mama yake Helena kuchimbua mahali patakatifu mjini Yerusalemu hata ukapatikana msalaba wa Yesu... |
Utume wa Yesu katika Injili, unaanza na ubatizo wake kwa mkono wa Yohane Mbatizaji katika mto Yordani na unakamilika katika mji mtakatifu wa Yerusalemu... |
Pasaka ya mwaka unaofuata. Kwa kawaida unachorwa alama mbalimbali, hasa msalaba wa Yesu na herufi za Kigiriki Alfa na Omega, ambazo ni ya kwanza na ya mwisho... |
Yohane wa Msalaba (Fontiveros, Castilia, Hispania, 24 Juni 1542 - Ubeda, Hispania, 14 Desemba 1591) ni jina la kitawa la Juan de Yepes Álvarez, padri wa Kanisa... |
Eva mpya (Kusanyiko Yesu Kristo) kumzaa (Mk 6:3), halafu kwa kumfuata hadi Kalivari aliposimama chini ya msalaba wa Yesu na kupokea kutoka kwake mwanafunzi wake mpendwa (Yoh 19:25-27). Adamu... |
Mtume wa Yesu Kristo (kwa Kigiriki ἀπόστολος, apóstolos, aliyetumwa), kadiri ya Agano Jipya, ni mmojawapo kati ya wale wanaume 12 ambao Yesu aliwateua... |